Neno la Mungu linapokolea lol!

Ndo blessing hiyo usishangae.
 
Duh yani nimecheka sana...ah burudani kweli.
 
Asante sana kwakweli sikupata nafasi ya kucheka.... bila hii picha!
 
neno la mungu takata lililotoka mbinguni ambalo moto na panga haviwezi kuliishindaa....hata watakaojitokeza kushangaa kazi ya watumishi watatawanyika kama upepo ubebavyo mchanga wa jangwani......
 
neno la mungu takata lililotoka mbinguni ambalo moto na panga haviwezi kuliishindaa....hata watakaojitokeza kushangaa kazi ya watumishi watatawanyika kama upepo ubebavyo mchanga wa jangwani......
kama unajua hilo, kamwambie Mkwere asivae mapete ya rangi!! na bangili za shaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…