Neno la shukrani kwa wateja wetu wa TTCL

Vifurushi vyenu ni vya ovyo sijapata kuona, et mtandao wa kizalendo lakini vifurushi vyake vipo juu kuliko mitandao ya kigeni, mtapata tabu sana kuja kuinuka
 
Kama kuna kampuni ya simu mbovu basi ninyi ndio kilanja wao,najuta kusajili mtandao huu na suala la muda tu itakuwa kwenye pipa la takataka vipande vya sim card yenu.
 
ila nilikuwa dom pale veyula asee kasi ya internet ya Ttcl sikuamin
 
Je naweza kubadilisha salio la hewani kuwa T Pesa? Kama inawezekana naomba maelekezo.
 
Mbona haiba yako inakataana na unachokisema?
 
Cha maana kwenye huu uzi ni tabasamu la huyo mdada, vingine ovyo tu.
 
Hongereni sana mnajitaidi sana, hata vifurushi vyenu vipo chini. Ongezeni bidii, muwe kinara namba 1 kwa kuwa mtandao bora zaidi Tanzania kuliko mitandao yote.

Mgema akisifiwa tembo hulitia maji, kwa sifa hizi, msivimbishe vichwa afu mkaaribu mambo.
 
Hongereni sana mnajitaidi sana, hata vifurushi vyenu vipo chini. Ongezeni bidii, muwe kinara namba 1 kwa kuwa mtandao bora zaidi Tanzania kuliko mitandao yote.

Mgema akisifiwa tembo hulitia maji, kwa sifa hizi, msivimbishe vichwa afu mkaaribu mambo.
Wakishika #1 jwa huduma nafuu. Je, vipi kuhusu Vodacom, Halotel,Zantel, Tigo na Airtel si watakimbia nchi?
 
Kwenye picha huyo nani

Ova
 
Akiwa na chura basi atakuwa full package

Ova
 
Internet yenu haina tofauti Kati ya 2g na 4g mjipange sana kwa uzalendo mmetushinda laini yenu ipo kabatini siku mkiwa na 4g ya ukweli mnistue tena
 
Nashauri TTCL mlete huduma kama ya SONGESHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…