kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 735
Wakuu kuna neno ambalo sijawahi kulifurahia hasa ninapoona baadhi ya wakuu wakilitumia hapa jf neno hilo ni "KUTOA POVU" hivi huwa lina maana gani kwa sababu ni kama lugha ya picha hivi.... Lakini sijawahi pata tafsiri sahihi eti "mkuu mbona unatokwa povu" sasa hilo povu linatoka wapi...
Nisaidieni jamani na mimi nianze kulitumia neno hili kama wenzangu humu jf.....
Nisaidieni jamani na mimi nianze kulitumia neno hili kama wenzangu humu jf.....