lina tofauti gani na neno MZINZI?
lina tofauti gani na neno MZINZI?
mzinzi yeyote alieoa akiwa anatoka nje ya ndoa yake..uzinzi ni kwa walio oa/kuolewa...malaya ni yeyote anaefanya mapenzi mara kwa mara na watu tofauti..
Hivi neno malaya huwa ni special kwa wanawake tu ama pia na wanaume?
Na funguo Malaya?