1. Mhanga - mfikwa wa jambo/ mtu alie kubwa na jambo , ambalo kimsingi si jambo la heri , jambo lenye kuleta simanzi/masikitiko/karaha.
Mhanga - umoja , Wahanga - wingi.
Mf. Mhanga wa maafuriko.
2. Mhanga- kitendo chaku ujasiri kuhusu/ kwenye jambo flani.
Mf. Alijitoa mhanga kuhakikisha ana usema uovu unao wafanywa na wanakijiji.
Sijui nime cheza mle mle.