Mgosi Mokiwa
Member
- Dec 21, 2012
- 34
- 5
Jamani kwetu sie waja leo waondoka leo twasema MKAZA MJOMBA.Nimehamia hapa Dar neno hili silitamki eti ni matusi kwa sababu ya neno 'KAZA'
Napenda kueleza kuwa neno Mka maana yake mke wa na kwa hiyo mkaza mjomba ni mke wa mjomba.Hiki ndio kiswahili sanifu.Kwa mantiki hii watu wanabananga kiswahili kwa kumwita mke wa mjomba shangazi.
Napenda kueleza kuwa neno Mka maana yake mke wa na kwa hiyo mkaza mjomba ni mke wa mjomba.Hiki ndio kiswahili sanifu.Kwa mantiki hii watu wanabananga kiswahili kwa kumwita mke wa mjomba shangazi.