Ukiwa Tanga au ukiwa na Watanga wenzako si vibaya kutamka mkaza Mjomba.
Lakini mkiwa mchanganyiko na jamii nyingine ni vizuri ukatumia Mke Mjomba /Mke wa Mjomba/Shangazi.
Usiwe na hofu Kiswahili kina maneno mengi yenye asili ya Tanga mfano Bunge, Kurugenzi, Mwanagenzi.
Utani !!!! Wabwanga na Wandele tishikamane