Neno moja kwa aliyekutoa bikra

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Wanawake nawakaribisha mtoe neno moja kwa dume lililokutoa bikra, inawezekana bado uko naye au yuko mbali mshaachana naye.

Kupitia uzi huu nimeona siyo busara kuwasahau hawa watu muhimu katika maisha yenu.

Wakumbukeni kwa maneno mawili matatu au hata neno moja tu.

Karibuni
 
Wanaume tuliotolewa bikra na mabeki3 mikono juu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mbona unahimiza Wanawake wenzako wachangie wakati wewe huchangii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…