"Upo mwenyewe nyumbani usiku unaingia, unaogopa kulala ndani mwenyewe, unaenda kwa jiran kumtafuta mtu wa kuwa nae ndani ili usiogope " maelezo hayo kwa msamiati mmoja tunasemaje. Saidia jamani.
"Upo mwenyewe nyumbani usiku unaingia, unaogopa kulala ndani mwenyewe, unaenda kwa jiran kumtafuta mtu wa kuwa nae ndani ili usiogope " maelezo hayo kwa msamiati mmoja tunasemaje. Saidia jamani.