Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Baada ya kuonyesha kiwango cha kutakata katika michuano ya Kagame, Una lipi la kumzungumzia Beki Mahiri wa Azam Fc Serge Wawa.
Mimi la kwangu ni hili;
Jamaa hastahili kuendelea kucheza Bongo, anapoteza muda hapa.
Mimi la kwangu ni hili;
Jamaa hastahili kuendelea kucheza Bongo, anapoteza muda hapa.