J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Feb 28, 2023 #2 Ni Kinyume cha Mshamba Mzee Meko vs Bob Mazishi Kipepe vs Pimbi Baba Madenge vs Ndumilakuwili Betina vs Zena Nk.....nk
Ni Kinyume cha Mshamba Mzee Meko vs Bob Mazishi Kipepe vs Pimbi Baba Madenge vs Ndumilakuwili Betina vs Zena Nk.....nk
Accumen Mo JF-Expert Member Joined May 15, 2022 Posts 18,036 Reaction score 39,882 Feb 28, 2023 #3 Watoto wale hawalali na njaa town wanajua chochoro zote , Ni kipaji unajua jinsi ya kuishi mazingira husika
Watoto wale hawalali na njaa town wanajua chochoro zote , Ni kipaji unajua jinsi ya kuishi mazingira husika
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Feb 28, 2023 #4 Ni sawa tu na wahuni wa mjini waliojimilikisha himaya fulani. Yaani watoto wa mjini, huwa hawakui! Hata wawe na miaka 70, bado tu wataendelea kuitwa mtoto wa mjini.
Ni sawa tu na wahuni wa mjini waliojimilikisha himaya fulani. Yaani watoto wa mjini, huwa hawakui! Hata wawe na miaka 70, bado tu wataendelea kuitwa mtoto wa mjini.
N Ntakuzibua JF-Expert Member Joined Oct 3, 2018 Posts 714 Reaction score 1,253 Feb 28, 2023 #5 Wajanja kuliko hata sungura ukikaa vibaya anaweza hata aka kuuza kwa bei nzur
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Feb 28, 2023 #7 wanasifa nyingi hao moja ya sifa zao wanajua kumpanga mtu na akakubali jambo ambalo sio sahihi lakini mtu anakubali.
wanasifa nyingi hao moja ya sifa zao wanajua kumpanga mtu na akakubali jambo ambalo sio sahihi lakini mtu anakubali.
kelphin JF-Expert Member Joined Dec 24, 2019 Posts 9,872 Reaction score 16,319 Feb 28, 2023 #8 Mtoto aliekaa kijanja