Neno muheshimiwa lina maana gani?

Neno muheshimiwa lina maana gani?

MZAWATA

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
556
Reaction score
95
Hapa tanzania neno muheshimiwa kwa kias kikubwa linatumiwa vibaya na wanasiasa kwa mtazamo wangu. Hiv kuwa diwan, mbunge, wazir ni lazima uitwe mheshimiwa? Hiv mbunge ambae kaz yake kubwa ni kulala na kujamba tu bungen anastahil kuitwa mheshimiwa? Diwan ambaye hata kusoma na kuandika kwake ni tatizo anastahili kuitwa mheshimiwa? Waziri ambaye ni fisad na hawez kutatua kero za wizara yake anastahili kuitwa mheshimiwa? Kwa mtazamo wangu hiki neno tungeshaur katika katiba mpya liondolewe maana linatumiwa vibaya na wanasiasa walio weng. Kila kona unayopita unasikia mheshimiwa mheshimiwa hata diwan alieacha shule akiwa darasa la tatu na kuiba kura na kuingia madarakan eti nae anaitwa mheshimiwa. Kwangu mimi nasema No!
 
Una mtoto? Anakusalimu kila asubuhi? Vipi kama hakusalimu ilhali bado mdogo? Ukipata jibu naamini na wewe ni mheshimiwa kwa mtoto wako
 
mheshimiwa neno asili ya kijaluo, naku pm maana yake.
 
hon·or - /ˈänər/
Noun:
1. High respect; esteem
Verb:
1. Regard with great respect

±±
hon·or·a·ble - /ˈänərəbəl/
Adjective:
1. Bringing or worthy of honor
2. (of the intentions of a man courting a woman)
Directed toward marriage
±±
 
Hapa tanzania neno muheshimiwa kwa kias kikubwa linatumiwa vibaya na wanasiasa kwa mtazamo wangu. Hiv kuwa diwan, mbunge, wazir ni lazima uitwe mheshimiwa? Hiv mbunge ambae kaz yake kubwa ni kulala na kujamba tu bungen anastahil kuitwa mheshimiwa? Diwan ambaye hata kusoma na kuandika kwake ni tatizo anastahili kuitwa mheshimiwa? Waziri ambaye ni fisad na hawez kutatua kero za wizara yake anastahili kuitwa mheshimiwa? Kwa mtazamo wangu hiki neno tungeshaur katika katiba mpya liondolewe maana linatumiwa vibaya na wanasiasa walio weng. Kila kona unayopita unasikia mheshimiwa mheshimiwa hata diwan alieacha shule akiwa darasa la tatu na kuiba kura na kuingia madarakan eti nae anaitwa mheshimiwa. Kwangu mimi nasema No!
Ni wezi wote wa mali ya umma
 
Kweli mheshimiwa itumike kwa watu maalumu kama ilivyo "sir" sio hata wazee wanao baka wajukuu zao waendelee kuitwa waheshimiwa.
 
Hiv kuwa diwan, mbunge, wazir ni lazima uitwe mheshimiwa? Hiv mbunge ambae kaz yake kubwa ni kulala na kujamba tu bungen anastahil kuitwa mheshimiwa?. Kwangu mimi nasema No!

fart051.jpg
 
Mi nadhani wote hakuna anaejua maana harisi kama yupo basi analitunia ndivyo sivyo
 
Ni vizur hilo neno tukaliondoa kabisa katika katiba yetu mpya maana hata wabakaji nao eti wanataka waitwe waheshimiwa
 
Una mtoto? Anakusalimu kila asubuhi? Vipi kama hakusalimu ilhali bado mdogo? Ukipata jibu naamini na wewe ni mheshimiwa kwa mtoto wako

Mimi sidhan kama upo sahihi mdau
 
Itawasumbua sn coz hakuna anaejua maana harisi coz kila mtu analitumia tofauti na maana harisi
 
Back
Top Bottom