Naombeni jinsi ya kutumia neno "nimeibiwa" katika sentensi mbili tofauti
nikimtuma mtu anibebee mzigo nitasema "nimebebewa...." je? nikimtuma mtu aibe kwa ajili yangu?
itatofautianaje na nikitaka kutoa taarifa kuwa kitu changu kimeibwa kwa kujitanguliza mimi katika sentensi kama subject?
nikimtuma mtu anibebee mzigo nitasema "nimebebewa...." je? nikimtuma mtu aibe kwa ajili yangu?
itatofautianaje na nikitaka kutoa taarifa kuwa kitu changu kimeibwa kwa kujitanguliza mimi katika sentensi kama subject?