Tungo za kiswahili zina kanuni zake, na kiima na kiarifu, pia kikundi nomino katika kiarifu huakisi ni nomino ipi inapaswa kutangulia.
Kwa mfao;
-Mzigo wako ndio ulioibwa basi utasema;
Mzigo wangu umeibiwa au Nimeibiwa mzigo wangu.
-Kama wewe umechukuliwa bila ridhaa yako.
Hautasema kuwa umeibiwa bali umetekwa.
-Na kama umeagiza mtu akiibie utasema
Juma ameiba chupa kwa niaba yangu.
NIMEJARIBU