Pole rafiki yangu"usiidharau hata sh.ishirini mwanangu..hicho hicho kidogo unachopata jifunze kukisave ili upate kikubwa.."...Baba yna2
R.i.p
Ahsante SanaPole rafiki yangu
Sijakuelewa eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtu mzima jamani, hujanielewa tu?!
Poleeeeh sana blood cc, [emoji24][emoji24]"usimdharau usiyemjua mwanangu..ishi na watu vizuri watendee yaliyo mema..Mungu pekee ndiye mlipaji wa kila jema na baya"..Mama yna2
R I.p
Ahsante Sana mdogo wangu kipenzi๐Poleeeeh sana blood cc, [emoji24][emoji24]
[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]Ahsante Sana mdogo wangu kipenzi[emoji8]
Mchumba huyo Hapo Mwanangu Ila maamuzi ni yako!! Ukiwa Tayari niambie kila kitu Ntagharamia,R.I.P-Daddy....
So sad! Sikumuoa na mpaka mzee anafariki Hakujua nimeoa mke Yupi..Ikawaje mkuu, ulimuoa!?