Neno 'usagaji' liondolewe kwenye matumizi haya yasiyofaa

Neno 'usagaji' liondolewe kwenye matumizi haya yasiyofaa

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
kusaga tunajua kitendo cha kuponda kitu kutoka hali yabisi/ugumu (mfano mahindi, mawe, n.k) kwenda katika hali ya unga unga. Tunatumia neno 'usagaji' zaidi kwenye kitendo cha kutengeneza unga wa mahindi kwa ajili ya mlo (ugali) ambao ni kati ya vyakula vikuu vya mtanzania. sasa neno usagaji linaponasibishwa na kitendo cha wanawake kufanya ngono ya jinsia moja ni upotofu wa lugha na udhalilishaji wa kiswahili. kwamba kiswahili kimwshindwa kitafuta neno lingine la hicho kitendo. Neno ambalo limerasimishwa kutumika kwenye vitendo hivyo vya ngono ya jinsia moja kwa wanawake.

Vyombo husika vikae na kufanyia hili kazi ili kuondoa ukakasi kwenye matumizi ya kila siku ya neno hili 'usagaji'
 
we ungependekeza neno kama lipi mfano?
maana hili lilichaguliwa kwa vile limekaa quite descriptive of one of their love styles.
 
kusaga tunajua kitendo cha kuponda kitu kutoka hali yabisi/ugumu (mfano mahindi, mawe, n.k) kwenda katika hali ya unga unga. Tunatumia neno 'usagaji' zaidi kwenye kitendo cha kutengeneza unga wa mahindi kwa ajili ya mlo (ugali) ambao ni kati ya vyakula vikuu vya mtanzania. sasa neno usagaji linaponasibishwa na kitendo cha wanawake kufanya ngono ya jinsia moja ni upotofu wa lugha na udhalilishaji wa kiswahili. kwamba kiswahili kimwshindwa kitafuta neno lingine la hicho kitendo. Neno ambalo limerasimishwa kutumika kwenye vitendo hivyo vya ngono ya jinsia moja kwa wanawake.

Vyombo husika vikae na kufanyia hili kazi ili kuondoa ukakasi kwenye matumizi ya kila siku ya neno hili 'usagaji'

sasa tutumie uliberaly badala ya ushoga ili twende sawa
 
kama usagaji hiyo ndo definition yake basi ni sawa maana kisimi kinachezewa mpaka kinalainika na kinatoka kwenye hali ya uyabisi
 
we ungependekeza neno kama lipi mfano?
maana hili lilichaguliwa kwa vile limekaa quite descriptive of one of their love styles.
Sasa hao waliolipitisha walilifanyia practical? kaaz kwel kwel
 
kama usagaji hiyo ndo definition yake basi ni sawa maana kisimi kinachezewa mpaka kinalainika na kinatoka kwenye hali ya uyabisi
Hauko sahihi mkuu. Tukisaga tunapata unga. Kisimi kinakuwa unga?
 
Back
Top Bottom