Hivi sa100 anaweza kumwajibisha waziri wa maliasili na utalii hata akivurunda?Huu ni ushauri mdogo ukichangiwa na maoni binafsi:
- Kama taifa ambalo tumeamua kufanya kila aina ya ujinga lakini inabidi tujipe tahadhari na ukomo wa ujinga wetu.
Hapa nazungumzia kujiweka mbali na "Nepotism" tunaweza fanya kila aina ya ujinga lakini kuendekeza huyu mdudu nepotism haina afya kabisa kwa taifa.
Huyu mdudu nepotism anazalisha kila aina ya magonjwa taifani kama uzembe, ufisadi ulio kithiri, rushwa iliyo kithiri, ubadhirifu wa mali za umma, kutowajibika, kujuana na kila aina ya magonjwa yanayo fifisha maendeleo.
Ni rahisi sana kupambana na rushwa kama taifa halina nepotism lakini kama lina nepotism iliyo kithiri ni ngumu kufanya hivyo.
Nepotism ni kikwazo kikubwa cha maendeleo katika mataifa hasa ya Afrika.
Sasa ofisi, mashirika na taasisi za umma zimeharibiwa na nepotism iliyo kithiri.
Hili wala sio swala la kuficha Watanzania mwenzangu tumekuwa wajinga tumegeuza ofisi, mashirika na taasisi za umma kuwa za kwetu na za watu wetu wa karibu na wale wanao tufahamu.
Sio serikalini, sio kwenye vyombo vya ulinzi ni mwendo wa Baba kumuachia mtoto au mjomba, ni mwendo wa Shangazi kumbeba binamu, rafiki yake.
Sio jambo la kushangaza ndani ya taasisi za kiserikali watu kustaff na madaraka kuwa kabidhi watu wao wa karibu, vyombo vya ulinzi simu za baba, wajomba, shangazi zimekithiri.
Taifa limefika hatua kama hauna connection ya ukoo, urafiki au kujuana kulitumikia taifa kwako ni ngumu kabisa.
Hatuwezi kupambana na kila aina ya uovu ndani ya nchi kama "Nepotism" imekithiri itakuwa ni mwendo wa kufichiana makosa na kuoneana aibu.
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari upya na kukata huu mzizi kama ikiwezekana licha ya kuwa ni ngumu.
jibu hoja,,,usilazimishe tufanane,,kutofautiana ndio mjadala wenyewe.Nikimwogopa huyo Mungu ina nisaidia nini sasa. mambo ya kijinga haya
Vyote kwa pamojaNizingatie neno moja moja au nizingatie hoja iliyo mbele yetu?
Hoja gani sasa hapo zaidi ya takataka huu uzi una mahusiano gani ya masuala ya kimungu kama sio ujinga ni nini sasa ?!.jibu hoja,,,usilazimishe tufanane,,kutofautiana ndio mjadala wenyewe.
Wakati nafanya kazi kwa wakimbizi kigoma ilifikia kipindi mabosi wa WFP wakisikia mtu ametoka Kagera hawampi nafasi kwa hiyo Kama mtu ametoka huko anadanganya ametokea mkoa mwingine.Ukiondoa CCM hata ofisi za umma zisizo na mahusiano na CCM ya moja kwa moja nepotism imekithiri hatari
Wewe umenipata. watu wanafikiri hili tatizo lipo kwa CCM pekee kumbe limejaa sehemu mbalimbali nchini ambazo CCM haina hata mkono wa moja kwa mojaWakati nafanya kazi kwa wakimbizi kigoma ilifikia kipindi mabosi wa WFP wakisikia mtu ametoka Kagera hawampi nafasi kwa hiyo Kama mtu ametoka huko anadanganya ametokea mkoa mwingine.
Yaani mpaka wazungu walishituka kuhusu nepotism.
Nimependa umeamua kufunguka ukweli ambao wengi humu wanajitoa ufahamu na kujifanya hawaelewi.Combating nepotism sio rahisi kama tunavyodhania , its a complex issue ..
Kama waafrika hasa bongo , wadogo ze2 wanatwangalia tulio juu tuwashike mkono nao waingie halmashauri tulizo ..
Personally nimewasaidia relatives kadhaa kwa rushwa ila ni kero , perfomance based hiring is much better .
Akifika kule hafanyi bidii kisa anajua ana mtu mbele , ila angeingia kwa bidii yake angeitunza .
Nepotism lessens productivity
Usijali sana, wote sisi ni wa kupita tu, zimekufa Empire kubwa kubwa duniani itakuwa Tanzania?Nchi hii inaenda kujifia nasi tukiitizama tu.
Hata mashirika binafsi.Ukiondoa CCM hata ofisi za umma zisizo na mahusiano na CCM ya moja kwa moja nepotism imekithiri hatari
Nakubalina nawe kuhusu hiliHata mashirika binafsi.
Tagizo hili bila kufanya mabadiliko kwa makusudi kabisa, hatulimalizi.
Inatakiwa taasisi za umma, kuanzia nyadhifa za juu mpaka chini watu wachanganywe kwa makusudi kabisa.
Facts....Huu ni ushauri mdogo ukichangiwa na maoni binafsi:
- Kama taifa ambalo tumeamua kufanya kila aina ya ujinga lakini inabidi tujipe tahadhari na ukomo wa ujinga wetu.
Hapa nazungumzia kujiweka mbali na "Nepotism" tunaweza fanya kila aina ya ujinga lakini kuendekeza huyu mdudu nepotism haina afya kabisa kwa taifa.
Huyu mdudu nepotism anazalisha kila aina ya magonjwa taifani kama uzembe, ufisadi ulio kithiri, rushwa iliyo kithiri, ubadhirifu wa mali za umma, kutowajibika, kujuana na kila aina ya magonjwa yanayo fifisha maendeleo.
Ni rahisi sana kupambana na rushwa kama taifa halina nepotism lakini kama lina nepotism iliyo kithiri ni ngumu kufanya hivyo.
Nepotism ni kikwazo kikubwa cha maendeleo katika mataifa hasa ya Afrika.
Sasa ofisi, mashirika na taasisi za umma zimeharibiwa na nepotism iliyo kithiri.
Hili wala sio swala la kuficha Watanzania mwenzangu tumekuwa wajinga tumegeuza ofisi, mashirika na taasisi za umma kuwa za kwetu na za watu wetu wa karibu na wale wanao tufahamu.
Sio serikalini, sio kwenye vyombo vya ulinzi ni mwendo wa Baba kumuachia mtoto au mjomba, ni mwendo wa Shangazi kumbeba binamu, rafiki yake.
Sio jambo la kushangaza ndani ya taasisi za kiserikali watu kustaff na madaraka kuwa kabidhi watu wao wa karibu, vyombo vya ulinzi simu za baba, wajomba, shangazi zimekithiri.
Taifa limefika hatua kama hauna connection ya ukoo, urafiki au kujuana kulitumikia taifa kwako ni ngumu kabisa.
Hatuwezi kupambana na kila aina ya uovu ndani ya nchi kama "Nepotism" imekithiri itakuwa ni mwendo wa kufichiana makosa na kuoneana aibu.
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari upya na kukata huu mzizi kama ikiwezekana licha ya kuwa ni ngumu.
[emoji106]Ukiondoa CCM hata ofisi za umma zisizo na mahusiano na CCM ya moja kwa moja nepotism imekithiri hatari
Mapinduzi ya fikra yanahitajika....kuanzia ngazi ya familia na kuendelea......Ni jambo linalo umiza.
Mwanzo nilikuwa nafikiri kuwa wazee wetu walikuwa wazembe mpaka wazungu na waarabu wana watendea kila aina ya uchafu na wao wapo tu ila nimekuja kugundua sisi ndio tuna uzembe wa hali ya juu kabisa