Ni kweli MkuuAlafu tunajipapiza ni mtz, angekuwa mtizedi si angeichagua tz, hii kitu ya kujipendekeza kwa raia wanaohusishwa na tz tuache.
Mpira wetu una siasa nyingi mnoNi kweli Mkuu
Wengi wanaweza kurudi kuchezea nyumbani iwapo tutaacha Wataalamu waongoze soka letu badala ya hawa Viongozi tulionao
Tukisema CCM ni adui namba moja wa Taifa hili muwe mnaelewakuwa na asili ya tanzania hamfanyi kuwa mchezaji wa tanzania bana, sisi tunajizibia riziki wenyewe wako wengi kama hao na wanataman kucheza tanzania ila mmekataa uraia pacha yaan eti uyo ache uraia wa australia aje kuwa mtanzania sio rahisiiii aseee
Kweli Mkuu, siasa imeteka soka letu la Bongo kwa muongo mmoja sasaMpira wetu una siasa nyingi mno
View attachment 2815046
NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania kwa kuivaa jezi ya Taifa Stars.
Ni Mwanasoka ambaye ana uwezo na ubora wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Nestory Irankunda alizaliwa na kulelewa kambi ya Wakimbizi pale mkoani Kigoma! Bahati mbaya sana kijana wetu hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars, anaitumikia klabu ya Adelaide United ya nchini Australia.
Hii ni another talent kubwa mno mno inastahili sana kuiwakilisha bendera ya Tanzania.
Tunaweza ruhusu Uraia pacha Kwa wanamichezo tuuView attachment 2815046
NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania kwa kuivaa jezi ya Taifa Stars.
Ni Mwanasoka ambaye ana uwezo na ubora wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Nestory Irankunda alizaliwa na kulelewa kambi ya Wakimbizi pale mkoani Kigoma! Bahati mbaya sana kijana wetu hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars, anaitumikia klabu ya Adelaide United ya nchini Australia.
Hii ni another talent kubwa mno mno inastahili sana kuiwakilisha bendera ya Tanzania.