MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Wadau nawasalimu,
Suala la kudai eti kuwapa bandari hawa Waarabu wa DP World ili wawekeze sidhani kama tutakwepa kuibiwa.
Ni aibu kwa Serikali yenye vyombo vya kupambana na wizi leo kudai eti bandarini kuna majizi, mapato yanaibiwa.
Serikali inayoshindwa kuwadhibiti hao wezi ni Serikali dhaifu na kama Serikali inajua inaibiwa na wazi hata wezi inawajua, inashindwa nini kuwakamata au ndio kulindana?
Wakati wa utawala wa Rais Mkapa kulikuwa na Mwekezaji TANESCO alikuwa anaitwa NET Group kutoka Afrika Kusini. Kilichotupata Watanzania wote tunakijua mpaka NET Group alifukuzwa
Uwekezaji sio kuzuia Wizi na kuongeza Mapato, inaweza kuwa ni kuibiwa zaidi.
Mifumo mibovu ya uendeshaji bandari ndio chazo cha wizi bandarini.
Suala la kudai eti kuwapa bandari hawa Waarabu wa DP World ili wawekeze sidhani kama tutakwepa kuibiwa.
Ni aibu kwa Serikali yenye vyombo vya kupambana na wizi leo kudai eti bandarini kuna majizi, mapato yanaibiwa.
Serikali inayoshindwa kuwadhibiti hao wezi ni Serikali dhaifu na kama Serikali inajua inaibiwa na wazi hata wezi inawajua, inashindwa nini kuwakamata au ndio kulindana?
Wakati wa utawala wa Rais Mkapa kulikuwa na Mwekezaji TANESCO alikuwa anaitwa NET Group kutoka Afrika Kusini. Kilichotupata Watanzania wote tunakijua mpaka NET Group alifukuzwa
Uwekezaji sio kuzuia Wizi na kuongeza Mapato, inaweza kuwa ni kuibiwa zaidi.
Mifumo mibovu ya uendeshaji bandari ndio chazo cha wizi bandarini.