Netanyahu akitoa order ya kushambulia beirutakiwa newyork

Netanyahu akitoa order ya kushambulia beirutakiwa newyork

Madwari Madwari

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
1,825
Reaction score
3,085
0wqr50y1thrd1.jpeg
 
Akumbuke tu na yeye siku yake ikifika, atakufa kama hao maelfu ya watu anao waua kila siku, akishirikiana na Mshirika wake Marekani.
Ukifuatilia historia wayahudi walijipanga mpaka wakaanzisha Israel. wazo la kurudi nyumbani lilianzishwa 1896 na Theodor Herlzl watu wakaingia Israel mwaka 1947. Ni difference ya miaka mingapi hapo ? Dunia haikuonei huruma kama hauna skills unamalizwa.Watu wanakazania watoto wasome madrasa mnategemea kusimama ? Uarabuni wanalindwa na jeshi la marekani pamoja na kuwa na mafuta.Talent uarabuni hazikuzwi kwa sababu system yao imekaa kimatabaka. Hata uwe na kipaji namna gani kama haujazaliwa katika familia fulani haupewi support. Hela zao za mafuta wananunulia magari halafu wanategemea kumpiga myahudi,
 
Back
Top Bottom