Netanyahu asusia kwenda kwenye uapisho wa Trump baada ya Trump ku share post inayomkosoa. Kuna usalama kweli?

Netanyahu asusia kwenda kwenye uapisho wa Trump baada ya Trump ku share post inayomkosoa. Kuna usalama kweli?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kumbe mambo yanafutuka huko Marekani kati ya Donald Trump na Netanyahau na wala hamsemi?


Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Netanyahu amesitisha safari yake kwenda Washington kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Donald Trump.

Trump Netanyahu .png

Imetajwa kuwa sababu ya uamuzi ni kutokana na retweet ya kwenye ukurasa wake wa Truth Social ambapo kiongozi huyo wa Marekani ali-share kupitia ukurasa wake video ambayo inamkosoa Benyamini Netanyahu kama inavyoonekana hapo chini.



Kwa hiyo Netanyahu akaamua ku-cancel trip yake.

Hivi kweli Netanyahu ni wa kukosa kuhudhuria uapisho? Anajiamini nini huyu baba?

Mwenye majibu atupe muongozo
 
Hizi ni drama tu hakuna issue ya diplomasia hapa, Trump hata iweje hawezi kuacha kutanguliza maslahi ya Israel hapo Middle East
 
Wakuu,

Kumbe mambo yanafutuka huko Marekani kati ya Donald Trump na Netanyahau na wala hamsemi?


Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Netanyahu amesitisha safari yake kwenda Washington kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Donald Trump.


Imetajwa kuwa sababu ya uamuzi ni kutokana na retweet ya kwenye ukurasa wake wa Truth Social ambapo kiongozi huyo wa Marekani ali-share kupitia ukurasa wake video ambayo inamkosoa Benyamini Netanyahu kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 3201019

Kwa hiyo Netanyahu akaamua ku-cancel trip yake.

Hivi kweli Netanyahu ni wa kukosa kuhudhuria uapisho? Anajiamini nini huyu baba?

Mwenye majibu atupe muongozo
Huko ni Kwa baba Yao atasusa lakini lazima aende, kumbuka marekani ndio mlezi wa taifa teule la dunia
 
Mnachekesha! Msinililie mimi; lilieni nafsi zenu na watoto wenu! Neno hili limetoka kwa BWANA nalo ni ajabu machoni petu.
 
Wakuu,

Kumbe mambo yanafutuka huko Marekani kati ya Donald Trump na Netanyahau na wala hamsemi?


Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Netanyahu amesitisha safari yake kwenda Washington kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Donald Trump.


Imetajwa kuwa sababu ya uamuzi ni kutokana na retweet ya kwenye ukurasa wake wa Truth Social ambapo kiongozi huyo wa Marekani ali-share kupitia ukurasa wake video ambayo inamkosoa Benyamini Netanyahu kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 3201019

Kwa hiyo Netanyahu akaamua ku-cancel trip yake.

Hivi kweli Netanyahu ni wa kukosa kuhudhuria uapisho? Anajiamini nini huyu baba?

Mwenye majibu atupe muongozo
Imeripotiwa kwa ushahidi gani ?

Marekani haitoi mialiko kwa viongozi wa mataifa mengine kwenye uapisho wa Rais iwe ni Israel, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, mpaka majirani zao Canada.

Tatizo mnashinda sana Tiktok, muwe mnajielimisha mitandaoni
 
Wakuu,

Kumbe mambo yanafutuka huko Marekani kati ya Donald Trump na Netanyahau na wala hamsemi?


Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Netanyahu amesitisha safari yake kwenda Washington kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Donald Trump.


Imetajwa kuwa sababu ya uamuzi ni kutokana na retweet ya kwenye ukurasa wake wa Truth Social ambapo kiongozi huyo wa Marekani ali-share kupitia ukurasa wake video ambayo inamkosoa Benyamini Netanyahu kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 3201019

Kwa hiyo Netanyahu akaamua ku-cancel trip yake.

Hivi kweli Netanyahu ni wa kukosa kuhudhuria uapisho? Anajiamini nini huyu baba?

Mwenye majibu atupe muongozo
Netanyahu anaogopa kushikwa pia hajui nani ndio mbaya wake, ana warrant ya kukamatwa na anaweza akadakwa mahala popote you never know
 
Back
Top Bottom