CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Hii sijui ni kwangu tu au kila mtu ila sifahamu maana napiga simu hazitoki Naambiwa tu "network Busy"
Ninavyojua huu u busy wa network hutokeaga 1 hour before kumaliza mwaka na 1 hour afteer kupokea mwaka
ila mwaka huu sielewi ndio kwanza saa hizi ni saa 8:36pm ila tayari mtandao uko busy.
Ninavyojua huu u busy wa network hutokeaga 1 hour before kumaliza mwaka na 1 hour afteer kupokea mwaka
ila mwaka huu sielewi ndio kwanza saa hizi ni saa 8:36pm ila tayari mtandao uko busy.