Wenye simu wenzangu niambieni
Mnaotumia Radio Call nadhani msubiri kidogo
Uuwiiiiiiiiiiii keep on trying jamani i can't wait to receive your call etiHalafu nilikua nakupigia niku suprise nashangaa "network busy"
sema sijakata tamaa naendelea kupiga,ikitoka tu ukapokea hyo n story
mpaka mwakani,Chaji labda iishe tu
Washa jenereta mkuuu prrrrrrrrrr usipokee mwaka Gizani aseeWengne luku network hakuna Vodacom Mungu anawaona mnanilaza na giza
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka, nasubiri mpaka majogoo etihapa nakazana,sikati tamaaa mpaka ufike muda wa kwenda Church naamni ntapata hata kaupenyo
La muhimu naomba usilale tuuuuuu....
Mkuu najaza mafuta kwenye karabai langu la ziwani ambalo natumia kivuliaWasha jenereta mkuuu prrrrrrrrrr usipokee mwaka Gizani asee
ikishindikana washa mamishumaa kama yote yani
safi sana mkuuMkuu najaza mafuta kwenye karabai langu la ziwani ambalo natumia kivulia
Sent using Jamii Forums mobile app