ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,021
- 1,978
Netwek ya tigo bomu kweli
jamaa alikuwa anachat kwa txt na
mpenzi wake
Binti; Hi Babes
Jamaa: Hi luv (msg sending failed)
Binti: Vipi upo?
Jamaa: Ndio nipo sweety (msg sending
failed)
Binti: Mbona hunijibu? Uko na mtu?
Jamaa:Mbona nakujibu sweet (msg
sending failed)
Binti: Mi naona unadharau sana. Mi
nimechoka staki tena
Jamaa: Pumbavu mkubwa kwenda zako
(Msg sent
jamaa alikuwa anachat kwa txt na
mpenzi wake
Binti; Hi Babes
Jamaa: Hi luv (msg sending failed)
Binti: Vipi upo?
Jamaa: Ndio nipo sweety (msg sending
failed)
Binti: Mbona hunijibu? Uko na mtu?
Jamaa:Mbona nakujibu sweet (msg
sending failed)
Binti: Mi naona unadharau sana. Mi
nimechoka staki tena
Jamaa: Pumbavu mkubwa kwenda zako
(Msg sent