mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Habari za mda huu wadau
nauliza kwa hapa tz hawa wataalamu wa neurons wapo? wanapatikana hospitali gan
natanguliza shukrani
Kcmc -Dr howlet
Muhimbili kuna kitengo kizima cha neurosurgery na jengo lao jipya - Ahsante Kikwete.
Kabla ya ujio wa Kikwete ilikuwa hakuna hiyo.