donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
habar zenu wakuu,samahan napenda kuuliza kama kwa hapa nchini kwetu katika vyuo vya medicine(muhimbili,kairuki,imtu,kcmc,bugando etc.) wanatoa bachelor of medicine in neurosurgery. Asante!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habar zenu wakuu,samahan napenda kuuliza kama kwa hapa nchini kwetu katika vyuo vya medicine(muhimbili,kairuki,imtu,kcmc,bugando etc.) wanatoa bachelor of medicine in neurosurgery. Asante!
Mkuu inatolewa.napenda kuuliza kama kwa hapa nchini kwetu katika vyuo vya medicinewanatoa bachelor of medicine in neurosurgery. !
sijakanyaga bongo kitambo but.. i dont think so... .
A lot have happened in your absence, karibu nyumbani siku hizi Kikwete ndo rais wetu.
hahaha... nafurahi man.. tuna advance katika swala zima la afya. babu tu wa kule poroni anaturisha nyuma. but tutasonga mbele EnchaAllah
Hapo pekundu hapana.
Ni advancement ya ethnomedicine. Yuko juu kwa watoa tiba wa caliber yake sema kilichoharibu ni wanasiasa kushadadia hicho kikombe.
sijakanyaga bongo kitambo but.. i dont think so... dude why dont you try urosurgery au hematology ni hot cake subsahara africa... and if you wanna be a urologist kasome china ni wazuri katika laparoscopic urosurgery it needs skills unajuwa man open surgery ipo out of fashion now days .
Mkuu inatolewa.
ni chuo cha Muhimbili ndo inapatikana.
Lakini sio Bachelor in Medicine, Neurosurgery ni superspeciality na unakuwa enrolled baada ya digrii ya kwanza au baada ya masters degree ya medicine.
kwa hapa Tz inatolewa baada ya Masters degree kama ulifanya General Surgery au ?Orthopedics and Trauma na sio speciality zingine.
Ni sandwich program between MUHAS and Witwatersrand University in South Africa.
So kama una masters ya gen,surgery changamkia hiyo, otherwise kama una MD or MBBS you can opt to other colleges nje ya TZ, China & Japan accepts Tanzanians in that field na pia nadhani scholarships offered.
thanx dude,india nao c wapo freshy?
india wapo fresh .. but wachina wanafacilities nzuri zaidi.. nakwambia hivi kwasababu nilifika kule kwa exchange program ya mwezi mmjoa kati ya chuo changu na chuo kimoja kule kinaitwa Zhejiang University u can see this link Partners - Global Health Institute .. nafkiri ni best university china ikifuatiwa na peking university si unajuwa man sikuhizi vyuo feki kibao kuwa makini,
link za zhejiang university hizi
1) International College Zhejiang University
2)Zhejiang University School of Medicine
link for peking university
1)Welcome to Peking University
sina more info about India au kama vipi unaweza ukaja kulinga na mimi huku Loma Linda University
good luck man but china schollership rahisi kupata cheki hizo link nilizokupata utaona ndio kipindi chake hiki...