Never prove you are right to your mum

Soft Guy

Member
Joined
Dec 18, 2023
Posts
64
Reaction score
149
Habarini wakuu,
Nimekuwa nikisense silent treatment from my mum nashindwa kuelewa nimekosea wapi.

Ila nimejitafakari nikaona tukiwa tunajadili mambo na story za hapa na pale ikatokea Kuna ubishani kuhusu kitu Fulani nikatoa perspective inayokinzana na ya kwake hatufikii mwafaka.

Minikajua ubishani kumbe ana chukulia vitu mbali Sana na personal.Na kinachofuata baada ya hapo ni silent treatment.Hii hali Kwa kweli siipendi.

Nataka kuwa mtu wa kuitikia chochote anachokisema na kuepuka mabishano maana minikajua tunibishana tu kumbe anafika mbali Sana.

Note; Namsikiliza nafanya Kila kitu anachonitaka nikifanye.
 
Nadhani wamama wote hua wanafanana sijui,.. Maana Mama angu mkiwa kwenye mjadala akiongea chochote kile hata akikuuliza ukimjibu anasema unadharau unajiona umekua,. Na ukikaa kimya anasema una kiburi asa sijui hua anataka nini..
Chakuzingatia hapo epuka mijadala na mzazi wako kama unaona ni mtu wa kuhifadhi vitu rohoni.
 
nawe utakuja kuwa hivyohivyo!
 
Habarini wakuu,
Nimekuwa nikisense silent treatment from my mum nashindwa kuelewa nimekosea wapi...
Shida ya wamama inakuwaga hii, they are always right. Yaani hata kama yeye ndio kakosea na uka mu expose, anaona umemdharau
 
Sorry, kiingereza kipana sana Soft guy maanake ni nini mkuu?😥
 
To a narcissist nothing will ever be right. Kwa bahati mbaya sana mama yako ndiye. Ni ngumu sana kudeal na mtu ambaye ni narcissist, kwasababu kwa mtu sane hakuna sababu ya kukulima silent treatment rather anatakiwa akuambie hii argument sio tuaiche, mną move on na mengine. As a mother anatakiwa kujali your emotional well being.

Namna ya kudeal ni kumuambia sio vizuri anavyokutreat or ignore her.

With love utajua uishije nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…