sasa ulipuke kwa hasira kwa watu wasiokuhusu?
utapata magonjwa ya moyo soon.....
sasa ulipuke kwa hasira kwa watu wasiokuhusu?
utapata magonjwa ya moyo soon.....
kwa hyo huyo muhudumu tu kamfanya aamin wanawake wote hawaaminik....lol
sweeping generalization
na kweli watch out, pressure inakuvizia kwa kwa hali hyo....
ila wanawake too much, anaweza kuona mwenzake anagongwa baadaye akiombwa mchezo na jamaa yule yule aliyemuona akimgonga mwenzake, anatoa. sijui wana nn
nilikuwa kwenye hoteli moja kwa ajili ya kupata chakula, mhudumu wa kike alikuwa akitoa huduma mezani kwangu.
Simu yake ikaita na kuipokea akisema "........ Nakuja niko nyumbani naoga nitakuja"
NILILIPUKA kwa hasira nikasema mbona unamjibu uongo, akajitetea "ahh huwa anasumbua bwana"
Wanawake mbona mko hivyo... mnapenda kuwa sehemu ya kuleta matatizo ya kisaikolojia kwa wanaume.
nilikuwa kwenye hoteli moja kwa ajili ya kupata chakula, mhudumu wa kike alikuwa akitoa huduma mezani kwangu.
Simu yake ikaita na kuipokea akisema "........ Nakuja niko nyumbani naoga nitakuja"
NILILIPUKA kwa hasira nikasema mbona unamjibu uongo, akajitetea "ahh huwa anasumbua bwana"
Wanawake mbona mko hivyo... mnapenda kuwa sehemu ya kuleta matatizo ya kisaikolojia kwa wanaume.
ila wanawake too much, anaweza kuona mwenzake anagongwa baadaye akiombwa mchezo na jamaa yule yule aliyemuona akimgonga mwenzake, anatoa. sijui wana nn