New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness



Rostam jifunze kujikita kwenye mada


Udini haupo wala ukanda bali mchoro wa kujimilikisha bandari zetu zote kwa mgongo wa mwekezaji mkubwa.


Jibu hizi hoja uzuri nakuhakikishia kwa Jina la Yesu Kristu Mungu pekee Aliyehai hii kitu kinaitwa Dubai World haiendi kokote itakufa kifo cha mende.


Awamu itakayokuja itawatupia mashuka yao hawa waarabu wataondoka mchana kweupe bila kuaga


Nyerere alitaifisha mali za watu wengine sembuse hili.


Idi Amin aliwatimua wahindi tena waganda wa kuzaliwa sembuse hili.


Bahati ya hawa wanaotuingiza mkenge hawatakuwepo kushuhudia haya maono.

Watayasikia kwenye bomba.


Mapambano ya kujiamulia mambo yetu yataendelea.

Uwekezaji wa kujiondoa kusimamia njia kuu za uchumi kama bandari kwa khoja mgamdo HATUWEZI au HATUNA HILI AU LILE.
 


Kifupi tu hakuna mtu au kampuni inaweza kudhibiti mizigo kila inakotoka kwa sababu ukakasi wa miliki ya miundombinu, sheria za kodi na mipaka ya nchi itamkwamisha.

Barabaraba au reli mbovu ataendesha pia ujenzi wa barabara na reli ikiwa na usimamizi wake.

Kama kuna kodi za kukusanya na anaona ni mwendo wa konokono atachukua majukumu ya TRA, TANROADS TRL n.k ili kuharikisha shughuli zake.


Kama sheria za miliki ardhi ni kikwazo cha bandari kavu au kuongeza maeneo ya kukuza shughuli zake itabidi hata bunge lijiuzulu na kumpisha mwekezaji aunde bunge lake na kugeuza sheria tajwa?


Kama hayo hayatoshi khoja za mapato zaidi zinalinganishwa na nini?

Mkataba feki hauna malengo ya kimapato sasa wenzetu hayo matrilioni mnayatoa wapi kwani mkataba upo kimya juu ya wajibu wao lakini bado tunaendelea kupotoshwa na hizi chambo feki.

HATUNASWI!

La nyongeza, kasi ya kupandishwa na kuongezwa kwa viwango na aina ya kodi ni ushuhuda tosha uwekezaji ndiyo umeshindwa siyo sisi tumeshindwa.


Hivi haya mashimo ya machimbo ya madini bado tunahitaji ushahidi upi kuthibitisha ya kuwa ahadi za matunda ya uwekezaji hayapo?


Ni lini hawa wanaoshabikia uwekezaji watarudi na kueleza mafanikio waliyotuahidi tangia enzi za Mkapa hadi leo na kwanini kodi bado tunalipa?

Malengo ya uwekezaji angalau yangelituondolea mzigo wa kodi lakini kinyume chake yameongeza kasi ya kutubebesha mizigo ya kodi.


Nchi hii kamwe haitaendelezwa na wawekezaji bali itaendelezwa na sisi watanzania wenyewe.

Historia ya uwekezaji Tanzania hawako tayari kulipa kodi huo ndiyo ukweli.


Hawa DP WORLD wako wazi hawatalipa kodi kwani mkataba unasema sheria za kuwalinda wawekezaji wasilipe kodi zitatumika na wala hawana kifungu hata kimoja kinachowashurutisha kuchangia bajeti ya nchi hii

La ajabu wanaotuingiza huu mkenge wanawatupia lawama wataalamu waliowateua wao wenyewe ya kuwa wamegeuza taasisi za umma kuwa shamba la bibi.

Swali ambalo wanalikwepa ni nani kawawezesha kuigeuza nchi kuwa shamba la bibi?

Majibu mnayo acheni shobo hizi.

Mnawapa maswahiba wale halafu wakiitafuna nchi mnawageuka wakati wametimiza malengo [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16]
 

Ukiona uongozi hautaki maandamano ujue hawataki kuwajibika

Wanataka uhalali wa kutawala siyo wajibu wa kutawala.

Tatizo la kutawala bila wajibu unaishia na mikataba ya kifisadi kama huu wa DP WORLD maana huna mipaka ya uongozi na hakuna athari zozote zitakuhusu kwa dhuluma dhidi ya wananchi
 
Methought wrongly that you'd touch on the DP netherworld that's currently an in-thing vis-a-vis vending our ports. It is arguably too early to tell if there is any hope shall we carefully and unbiasedly address issues of importance for our country. I am not of the cabal of mama anaupiga mwingi hoo-has the likes of Mwigulu and other gung-ho praise singers and courtiers puke and regurgitate every now and then. I however concur with you that there were no freedom of expression and other nonessential rights. Moreover, I totally differ asserting that the economy tanked under Magu. Can you please substantiate your assertion before we deem it hot air?
 
Flag independence benefits politicians but economic independence is inclusive and sustainable


Our political class hates the latter because it poses threat to their clout on power.


Foreign investment has enriched the political class but has malnourished our populace.

If foreign mining has failed to develop us, nothing else will.

All foreign investors never pay taxes, but local investors pay taxes. This is discriminatory and targets to undermine the local investor.

The DP WORLD Agreement is reticent on what Tanzanian will benefit because there are no benefits.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…