New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Hii katuni ya Gado ni shughuli nzito. Picha ya Rais Samia imetupwa kwenye jalala na nafasi ya picha yake imetwaliwa na Mtawala wa Dubai.

Polisi pia hawakuachwa nyuma nao wamewekwa mfukoni mwa mwarabu huku wanasheria wakijaribu kujenga khoja bila mafanikio.

Kama hawajaielewa hii katuni basi wajiandae kuwakabidhi wapinzani Ikulu maana kazi si tu imewashinda bali pia hata HAWAIJUI ya kuwapeleka watanganyika Kaanani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…