Hii katuni ya Gado ni shughuli nzito. Picha ya Rais Samia imetupwa kwenye jalala na nafasi ya picha yake imetwaliwa na Mtawala wa Dubai.
Polisi pia hawakuachwa nyuma nao wamewekwa mfukoni mwa mwarabu huku wanasheria wakijaribu kujenga khoja bila mafanikio.
Kama hawajaielewa hii katuni basi wajiandae kuwakabidhi wapinzani Ikulu maana kazi si tu imewashinda bali pia hata HAWAIJUI ya kuwapeleka watanganyika Kaanani.
Fyuzi naona zimeungua yaani unapowasaka wana alama za kukuongoza muache kuuza nchi watu mnawakatisha tamaa ya maisha [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787] [emoji23]