Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #41
Sawa, basi naomba unionyeshe logically kwamba Mungu hayupoHuo si mtazamo wangu tu, hiyo ni logic.
Ninaweza kuonesha hilo logically.
Nikionesha logically kwamba Mungu hayupo, utakubali kwamba hayupo, au utabisha zaidi?Sawa, basi naomba unionyeshe logically kwamba Mungu hayupo
Kuhusu kukubali au kukataa inategemea na uzito wa hoja ambayo utaiwakilisha.Nikionesha logically kwamba Mungu hayupo, utakubali kwamba hayupo, au utabisha zaidi?
Vijana wa kilokole kila siku watamkiwa POKEA ,miaka inasonga na hakuna cha maana wanachopokea ila wapo tu .Zamani watu walikua wastahimilivu sana na walikua na vifua sana mtu anafarijiwa kanisani/msikitini lkn hamna cha maana anachopata na haoni kama ni shida, ila vijana wa saivi maisha yamekua magumu umletee porojo za utakua billionea kwa maombi?
Na hilo ndilonswali langu.Kuhusu kukubali au kukataa inategemea na uzito wa hoja ambayo utaiwakilisha.
Hao wanao enda kwenye makanisa ya kupokea miujiza basi nao ni kama wapagani tu kwani hakuna ukweli huko zaidi ya kukamuliwa pesa tu kila siku.Vijana wa kilokole kila siku watamkiwa POKEA ,miaka inasonga na hakuna cha maana wanachopokea ila wapo tu .
Umesahau, "kwanza dini tumeletewa"Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.
Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.
Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.
Mifano ya maneno hayo ni:
• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo
Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)
Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Mimi nahitaji nifahamu hiyo logic yako kuhusu Mungu, ni vyema kufahamu mitazamo ya wengine hata kama hutokubaliana nayo.Na hilo ndilonswali langu.
Nikileta hoja nzito na ya kushawishi kabisa, iliyo kimantiki kabisa, ya kuonesha Mungu hayupo, kimantiki, utakubali hayupo?
Au utaishia kutetea imani yako by any means necessary?
Ni kweli dini haikupeleki mbinguni, Mungu humpeleka mbinguni amtakaye na wala hachagui dini wala kabila.Umesahau, "kwanza dini tumeletewa"
"Dini haikupeleki mbinguni"
Jinsi wewe unavyowaona wao na ndivyo wewe pia ulivyo , ufahamu wako umeshikiliwa kwenye kifungo cha ahadi na vitisho kama wao tu .Hao wanao enda kwenye makanisa ya kupokea miujiza basi nao ni kama wapagani tu kwani hakuna ukweli huko zaidi ya kukamuliwa pesa tu kila siku.
Kama ni kifungo basi nipo tayari nifungwe milele, sitiweza kumkana Mungu kamwe.Jinsi wewe unavyowaona wao na ndivyo wewe pia ulivyo , ufahamu wako umeshikiliwa kwenye kifungo cha ahadi na vitisho kama wao tu .
Hakuna kiyu kama hicho.Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.
Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.
Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.
Mifano ya maneno hayo ni:
• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo
Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)
Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Upo sawa kabisa , hakuna anae kulazimisha ukane fikra zako.Kama ni kifungo basi nipo tayari nifungwe milele, sitiweza kumkana Mungu kamwe.
Sawa.Mimi nahitaji nifahamu hiyo logic yako kuhusu Mungu, ni vyema kufahamu mitazamo ya wengine hata kama hutokubaliana nayo.
Bado unajiuliza na kujijibu mwenyewe, nasubiri ueleze hiyo logicSawa.
Nikikuonesha kwamba logic inaonesha Mungu hayupo na hawezi kuwapo, logically, utakubali Mungu hayupo?
Au utasema Mungu ni zaidi ya hiyo logic na hivyo logic haiwezi kuonesha Mungu hayupo?
AbsolutelyUpo sawa kabisa , hakuna anae kulazimisha ukane fikra zako.
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.
Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.
Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.
Mifano ya maneno hayo ni:
• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo
Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)
Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Sawa, ila wengine tunashukuru kwa kuletewa mfumo mzuri wa namna ya kumuabudu Mungu kuliko kuendelea kuchinja mbuzi makaburini.Hakuna kiyu kama hicho.
Watu mnaamini dini za kikoloni ambazo lengo la kuja kwa dini hizi ilikuwa ni kuwatawala kifkra na kiuchumi.
Angalia Waarabu (waliowaletea dini ya Kiarabu) walivyo wabaguzi na wakatiri hasa kwa ngozi nyeusi.
Angalia wazungu waliowaletea dini ya Kikristo wanavyo wanyanyasa kifikra na kiuchumi.
Nashauri vijana wa sasa waondokane na ukoloni wa kidini.