TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
jambo gani ?Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili.
#RudiNyumbaniKumenoga
Yaani mkoa kama Arusha mnakosa huduma ya fiber mko serious nyie?Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili.
#RudiNyumbaniKumenoga
Yaani mkoa kama Arusha mnakosa huduma ya fiber mko serious nyie?
Sehemu hata Caf walifanya mkutano mkubwa sana,Yaani mkoa kama Arusha mnakosa huduma ya fiber mko serious nyie?
LIKO WAPI HILO JAMBO?Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili.
#RudiNyumbaniKumenoga
Tumepandisha intaneti kwenye mlima KilimanjaroLIKO WAPI HILO JAMBO?
say what??????Tumepandisha intaneti kwenye mlima Kilimanjaro
Ttcl mezingua sana kwenye mabadiliko ya bandle nimeamua kurudi. Halotel ,nn maana ya kuwa shirika la ummaMshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili.
#RudiNyumbaniKumenoga
Bei za TTCL ni kwamba haiwataki wateja na inawasukumizia makampuni binafsi ambazo nazo zinapandisha bei kukicha na kuwaibia watumiaji bando. Mfano kuna siku niliweka bando 1.1GB ya siku3 Airtel nikazima data. Kufungua data baada nakutana na option ya kununua bando ile niliyoweka bila kutumia imeisha, Vodacom nao ni wiz huo huo kwenda mbeleYani GB 15 nilikua nanunua 22500.kwa ss ni 37500.hii hatare mnooo
Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili.
#RudiNyumbaniKumenoga