Kwa nijuavyo continous wanafungua tarehe 14 mwez wa kumi na fist year tareh 7 wanaanza orientation......
Izo registration form hata msiwe na haraka nazo we njoo zinapatikana hapa hapo chuon kwa bei ya cop tu...
Hapa chuo ishu kubwa ni hostel ndo hazitosh lakini mpango wa kitabu ni poa 2.....
chuo ni tarehe 14 kweli kwa continous na 07 kwa freshers na kuhusu vyumba nikweli mtiti
pia kwa taarifa nyingi kuhusu shule yetu ya ARU unaweza ukaingia ktk page yetu wana aru wote facebook ipo kwangisha jina la aridh university and unaweza pia ukikosa wa kukubeba na muda ndo huu coz ukichelewa imekula mana watu ni wengi mno but for more information nitafute through 0719920900
chuo ni tarehe 14 kweli kwa continous na 07 kwa freshers na kuhusu vyumba nikweli mtiti
pia kwa taarifa nyingi kuhusu shule yetu ya ARU unaweza ukaingia ktk page yetu wana aru wote facebook ipo kwangisha jina la aridh university and unaweza pia ukikosa wa kukubeba na muda ndo huu coz ukichelewa imekula mana watu ni wengi mno but for more information nitafute through 0719920900
Angalizo: chuo kinafunguliwa tarehe 14/10 bt tarehe 07/10 ni frst year reporting date and orientation starts. Pia kufuatia Mwl Nyerere day , tunadhani kuwa repoting day ya first year likely to open officialy either on 21/10 and studies to beggin on 27/10 kwa mabadiliko yoyote mtajulishwa, sisi ni wadau wa serikili ya ARUSO hivo hatutapenda watu wasio wanaARU kutoa tarifa potofu. Take it from me,,,
Kuhusu kupata room ni mpaka ulipie ada ( tuition fees) na michango mingine muhimu kama ilivoanishwa ktk fomu ya usajili, hivo unavyokawia kuripoti na kujisali ndo unajinyima hski ya kupata room. Ikumbwe kwamba majina ya waliopata room huanzia namba moja ya aliekua wa kwanza kuripoti na kulipia tiution fees ndipo wa mia nne aliekuwa amefikia namba hiyo ktk ulipiaji tuitoon fees na kukamilisha usajili.
Huruhusiwi kufanya malipo ya accomodation mpk umepangwa kwa jina toka kwa bursor ambapo ukilipia benk utarudi tena kea busor utapewa namba ambayo utarnda nayo kwa wadeni na kupewa godoro. Watu 400 tu watakaa hosteli wengine tafteni rooms mitaani. Mwenye wasiwasi na mahali pa kufikia PM soon, usaidiwe
thanx kaka..admission latter zinaanza kutolewa kuanzia lini??..na kama batch yako imechelewa kutoka bodi itakuaje kuhusu tuition fee??chuo kitakuelewa??
Admission letter can be downloaded from ARU website together with fees structure
Angalizo: chuo kinafunguliwa tarehe 14/10 bt tarehe 07/10 ni frst year reporting date and orientation starts. Pia kufuatia Mwl Nyerere day , tunadhani kuwa repoting day ya first year likely to open officialy either on 21/10 and studies to beggin on 27/10 kwa mabadiliko yoyote mtajulishwa, sisi ni wadau wa serikili ya ARUSO hivo hatutapenda watu wasio wanaARU kutoa tarifa potofu. Take it from me,,,
Kuhusu kupata room ni mpaka ulipie ada ( tuition fees) na michango mingine muhimu kama ilivoanishwa ktk fomu ya usajili, hivo unavyokawia kuripoti na kujisali ndo unajinyima hski ya kupata room. Ikumbwe kwamba majina ya waliopata room huanzia namba moja ya aliekua wa kwanza kuripoti na kulipia tiution fees ndipo wa mia nne aliekuwa amefikia namba hiyo ktk ulipiaji tuitoon fees na kukamilisha usajili.
Huruhusiwi kufanya malipo ya accomodation mpk umepangwa kwa jina toka kwa bursor ambapo ukilipia benk utarudi tena kea busor utapewa namba ambayo utarnda nayo kwa wadeni na kupewa godoro. Watu 400 tu watakaa hosteli wengine tafteni rooms mitaani. Mwenye wasiwasi na mahali pa kufikia PM soon, usaidiwe
So zitawekwa si ndio??maana mpaka sasa hivi bado hawajaweka..okeey jaribuni kuwakumbusha waupload mapema hizo issue..thanx kaka kwa ushirikiano wako,