Kivipi mkuu as long as sitachangia pumba yoyteHio picha kwenye avatar itakucost,ni suala la muda tu utayakumbuka maneno yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima uote unakimbizwa
Lazima uote unakimbizwa
Hii inadhihirisha ulivyo na shombo za kifesibuku. Huna lolote zaidi ya kuuza sura,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini ujinyime uhuru wa kuchangia nyuzi za JF (labda kama ulikuwa unatukana) kisa avatar! Mimi mwenyewe hiyo avatar si picha halisi ya kwangu, labda kuna agenda ya siri
Hii picha ya ukweli au ya kuedit? Hiyo shepu aise si mchezoNakutunuku dada yangu dogo naona una sura nzuri.....
ukiniona mm si utazimia nilivo Hb mpaka napewa likizo kaziniMr handsom man