Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu, ebu fanya unipe mbinu ya kunasa ulimbo humu ndani...[emoji39]
Lakini minilijua huyo fainensho serivisi ni Me...[emoji849]
Aisee siyamenikuta wiki mbili zilizopita siwezi elezea aisee bestHahahahaha
Sasa lengo linakuwa Nini hasa?kufurahisha wananchi ama?Eeee jf kuna watu wamepinda, anamnyang'anya mchepuko id ajibebishe, what a kima😂
MTT hata Mimi siijui how it works...na Mimi itabidi nigugo🙆Aisee yule hakuna Mtu anayemuweza sijui yukoje hata ukimwelekeza hivi Yeye anaelewa vile. Nikamwambie basi hebu jaribu Ku practice MTT (Mental travel time) nayo ndio haelewi kabisa akaniambia maneno mabaya aisee 🤣🤣🤣
Nahuzunika sana amigo, kumbe watu wanakula mema ya nchi polepole hata hawatuambii..🙄Amigo Heshima Yako!
Kumbe Macho Yako Yanaona Hadi Nyuma Ya Keyboard
Hahahaha yamekukuta nn ?Aisee siyamenikuta wiki mbili zilizopita siwezi elezea aisee best
Kaka acha tafadhali 😂Sijajua sasa la kwenu limekaaje 🤣🤣ila dada kama ni hvo kwnn haya mapenzi ya promotion yanakua one sided....yaan Moja ndo anakua anahangaika sana kuonyesha mambo yapo byeee
Kaka Leo nimeamka na akili kidogo hayo tuyaache ilikua hasira tu ya kufokewa na mbibi flan 🤣🤣🤣Kaka acha tafadhali 😂
Pole sana mkuu na wewe bado unaumiaga?Kuna mwamba yupo nje huko nilikuwa tayari kuacha kazi for him ....niseme ukweli nilikuwa na hisia nae kiukweli lakini haikutokea bahati ya kuungana....sikuzote naamini kitu kikikuponyoka ujue hakikuwa chako.Japo niliumia kimtindo maana tulipanga mengi na aliniaminisha😥
Maana nimeona unataka kuharibu sherehe 😂Kaka Leo nimeamka na akili kidogo hayo tuyaache ilikua hasira tu ya kufokewa na mbibi flan 🤣🤣🤣
Kijana anazingua sasa.Unadhani yeye ni hata mpenzi wake basi?visa tu[emoji134]
🤣🤣🤣Sherehe haiharibiki jomba mi nlikuwa namtania tu dadangu nifahMaana nimeona unataka kuharibu sherehe 😂
😂 sawa mkuu sisi tupo tupo🤣🤣🤣Sherehe haiharibiki jomba mi nlikuwa namtania tu dadangu nifah
Yule mwamba nilimpenda aiseePole sana mkuu na wewe bado unaumiaga?
Japo imebaki stori maana nina mpenz ila ni Kumbukumbu yenye maumivu kwanguPole sana mkuu na wewe bado unaumiaga?
Cheka tu sana nikomeHahahaha yamekukuta nn ?