New: Fist Selection za TCU,majina yametoka.

muxin

Senior Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
175
Reaction score
61
habar zenu Wanajamvi...
Nmepitia TCU Website thru my phone nmekuta majina ya waliokosa first selection yametoka.

Kwa bahat mbaya mwenzenu na wengineo cm zetu hazina uwezo wa kufungua PDF na tuko very remote areas.
So nawaombeni mlioweza kudownload na kusoma majina hayo mtupie yote humu humu Jf na ili wengine tupate kujiangalia kwa faida ya wote.
***NAWASILISHA***
 
Una uhakika!?? Na watatoaje majina ya waliokosa first selection na wasitoe ya waliochaguliwa??
 
Una uhakika!?? Na watatoaje majina ya waliokosa first selection na wasitoe ya waliochaguliwa??


hey!
kaangalie mwnyewe bhana kwny web ya "TCU~news and adverts".
 
Duh!majangaa mbona majangaa
 
Duh!majangaa mbona majangaa


majanga kwelikweli! but kwa mtizamo wangu ni bora tu yawe hayo hayo majanga na yamkute huyu dogo langu mana hapo first alifanya selection za course mbovu mbovu kweli kweli bila kufuata advice mpk keshajuta sn but nahs kwahili la waliokosa atakua anaomba kwa udi na uvumba awemo ili achek upepo mwngn.
 
Waliokwisha download tupieni humu basi tuone.
 
download yake bado pia ni shida hasa maeneo ya vijijini kwani nimejalibu muda mwingi inaleta shida na ninatumia laptop
 

mkuu hawa wadogo wetu ni wabishi kweli kwenye kuwapa ushauri..wanajaza tu course kuna course zingine zina competition kubwa na zimeombwa na watu wengi angali ufaulu wao mdogo.
 
mkuu hawa wadogo wetu ni wabishi kweli kwenye kuwapa ushauri..wanajaza tu course kuna course zingine zina competition kubwa na zimeombwa na watu wengi angali ufaulu wao mdogo.



Yah! tena wengine wanachagua fani zisizo na future wakiskia tu title wanachanganyikiwa bila kujua kua kuna kugraduate ukaishia kuzunguka na vyeti miaka nenda rudi bila ajira.
 
Ndugu yale majina sio walakosa first seletion bali ni majina ambayo watu ambao 1.wamejaza kozi kwa makosa (ilegible) na ambao wamekosa kozi zote ambazo walizochagua kwa sababu ya competion ya hizo kozi
 
Sasa mbona wale wa level ya diploma walioapply degree majina yao hayamo..wao watAjuaje wamepata au wamekosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…