New: Fist Selection za TCU,majina yametoka.

hii ni mpaka kwa walioapply kutoka diploma ama only form 6??
 
waliodowload ! tusaidiane huku vijijin majanga cmu haziwez
 
mi nimechek kwenye VIEW MY SELECTION STATUS course zote nilizoomba zipo lakini nikichek kwenye SELECTED PROGRAMS hakuna kitu na nimepewa option ya kuaad course moja. Hapa tatizo nn? Tufahamishane wakuu!
 
mi nimechek kwenye VIEW MY SELECTION STATUS course zote nilizoomba zipo lakini nikichek kwenye SELECTED PROGRAMS hakuna kitu na nimepewa option ya kuaad course moja. Hapa tatizo nn? Tufahamishane wakuu!

ukiangalia vizuri lazima jina lako limo kati ya hayo 8805 maana ambao hawamo hata hapo kwenye selected programs hapafunguki kabisa,kachague course moja kati ya zile walizo orodhesha ktk website yao ili ufanye second application.
 
jaman kama ukifngua profile yko usipokuta not yet appkyd c ina maanisha kwmba hauko kwnye majina ya wa2 waliokosa
 
kama vipi mdau naomba unichekie jina hili kama lipo edger mhavi edward sor lakini!

Edger Mhavi Edward halipo lakini ukipata nafasi na wewe unaweza kujiangalia ili moyo wako utulie maana najua ulivyo na shauku.
 
hello!unaangaliaje hayo majina yaliotoka coz nataka niangalie langu nimeangaika sana jinsi ya kutafuta sijapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…