New Hiv cure

kasuku mtu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
321
Reaction score
94
Habari wana jf!

Kama siku nne hivi nilisikiliza radio flani nikasiki denmark wa,egundua cure ya hiv!

Ila naona wataalam mbali mbali wanaipinga hii kitu!

Yeyote mwenye ufahamu juu ya swala hili atufungue imekaaje hii maana wazungu wanatuchezea kichwa huku ndugu zetu wanapata tabu na gonjwa hili.
 
Mkuu jiachie.
No more 2nd thought!
Tom.b.o.k*
 
Wazungu washenzi sana hawatupendi sana sisi wa-africa,wanatuzuga kwamba wamegundua dawa ili tujiachie tuzidi kulamba manyenyereee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…