Elections 2010 New kigoda/epa?

mwanatanu

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2008
Posts
851
Reaction score
127
hii article hapa chini ni kutoka gazeti la mwanahalisi........kama ni kweli basi twazidi twafwa
 
Wana dola, wana mahakama, wana kila kinga. Lakini inaingia katika rekodi. Siku moja watajibu...
 
Inanikumbusha mbaaali kweli!!

Mediapix....mkatab Tz....malipo yanafanywa kwa Benki ya Canada.....mabango yanatengenezwa China....
Ramju(kwanini jina moja?)....username ni Zahur....kampuni yenye akili inatumia free-email ya hotmail (ambapo hata kampuni dogo la kutengeneza mikate canada hawataki kutumia yahoo or hotmail kufungulia company emails)

Ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
Yanayofanyika nnji hii ni zaidi ya yale yanayofanyika kuzimu.

huenda shetani alitupwa tanzania!!!
 
Thumbs up to Saed Kubenea and MwanaHalisi for daring to say, no matter what.... May God Bless you abudantly!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…