New lady here

chennai

Member
Joined
Aug 17, 2009
Posts
9
Reaction score
0
Hi Please welcome me.
JamiiForums inanikosha sana.
Yours Chennai.
 
Karibu sana bibie hujachelewa sana mambo ndo kwanza bado ya moto moto.
 
Hi Please welcome me.
JamiiForums inanikosha sana.
Yours Chennai.

Karibu sana beautiful.
Je, Jamiiforums inakukosha kivipi? Kuna mtu au watu mahsusi wanaokukosha?
Yours Ngabu.
 
Fidel80 asante na idumu hii forum.
Kyachakiche asante na nitokako ni jambo.
Limbani asante nawe.
Bao3 asante kaka.
Kibongoto kweli wanajamii ni wakarimu nawe asante.
Nyani Ngabu asante na kweli jamiiforums inanikosha kuona upeo wa watu kwenye mambo kadhaa na kupata habari motomoto na kuliwaza.
Caroline Danzi nashukuru(nimeshindwa kukujibu kighana japo najua tu Akwaaba).kilugha chetu tunasema wakondya. Ambe
Kaizer asante itakuwa ni kati ya miji hiyo ila ni ghana.
Balantanda asante nawe.
 

Asante kushukuru. Usiadimike basi...
 
Soseji between your legs. Thank you

Looking for that stuff here? Why you ain't said that from the start tho?

Yo, you got a better shot at Myspace /High Five, one of them social hook up sites, know I'm saying, or Harmony.com, that's official too. I don't know about here tho, it's a bunch of sophisticated-half-frustrated politrikcian wanna-bees who ain't about to fall for some sausage hunting death traps like your mojo. But keep hustling, I don't know, you may trap a few tho, stay on a grind.
 
Bibie karibu sana jamvini, nikikuuliza kama umeolwewa weye nitakuwa nimekiuka sheria za JF?
 
Feel at home new lady!!! Here is The home of great thinkers!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…