Yona F. Maro R I P Joined Nov 2, 2006 Posts 4,201 Reaction score 236 Aug 19, 2009 #21 Chennei ghafla umeanza kuturusha inaonyesha wewe sio mgeni - jina ndio geni mtu yule yule
K Koba JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 6,131 Reaction score 1,354 Aug 19, 2009 #22 Nyani Ngabu said: Karibu sana beautiful. Je, Jamiiforums inakukosha kivipi? Kuna mtu au watu mahsusi wanaokukosha? Yours Ngabu. Click to expand... ..acha kujipendekeza wewe kama kawaida yako,Chennai karibu sana kama una taka kufahamiana na king Koba usisite kunitupia PM.
Nyani Ngabu said: Karibu sana beautiful. Je, Jamiiforums inakukosha kivipi? Kuna mtu au watu mahsusi wanaokukosha? Yours Ngabu. Click to expand... ..acha kujipendekeza wewe kama kawaida yako,Chennai karibu sana kama una taka kufahamiana na king Koba usisite kunitupia PM.
Ramthods JF-Expert Member Joined Jun 2, 2009 Posts 515 Reaction score 187 Aug 19, 2009 #23 Hi Please welcome me. JamiiForums inanikosha sana. Yours Chennai. Click to expand... You are welcome. Hope nawewe utatukosha pia!
Hi Please welcome me. JamiiForums inanikosha sana. Yours Chennai. Click to expand... You are welcome. Hope nawewe utatukosha pia!
GP JF-Expert Member Joined Feb 5, 2009 Posts 2,049 Reaction score 161 Aug 20, 2009 #24 MwalimuZawadi said: Bibie karibu sana jamvini, nikikuuliza kama umeolwewa weye nitakuwa nimekiuka sheria za JF? Click to expand... hujakiuka sheria, ruxa! katabazi said: MwalimuZawadi-usiulize!Namjua mumewe! Click to expand... usimtishe mwenzako, mwl make a move plz! Koba said: ..acha kujipendekeza wewe kama kawaida yako,Chennai karibu sana kama una taka kufahamiana na king Koba usisite kunitupia PM. Click to expand... JF inaonyesha kuna uhaba wa SHORIZZZZZ watu wanaanza kutunishiana misuli.
MwalimuZawadi said: Bibie karibu sana jamvini, nikikuuliza kama umeolwewa weye nitakuwa nimekiuka sheria za JF? Click to expand... hujakiuka sheria, ruxa! katabazi said: MwalimuZawadi-usiulize!Namjua mumewe! Click to expand... usimtishe mwenzako, mwl make a move plz! Koba said: ..acha kujipendekeza wewe kama kawaida yako,Chennai karibu sana kama una taka kufahamiana na king Koba usisite kunitupia PM. Click to expand... JF inaonyesha kuna uhaba wa SHORIZZZZZ watu wanaanza kutunishiana misuli.