NEW!!medical examination form UDSM.

nasssen

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
489
Reaction score
535
Wanajamvi habari zenu za saizi. bila kupoteza muda ni kwamba udsm wametoa medical examination form unayotakiwa kuidownload na kwenda kuijaza hospitalini au kwny kituo chochote cha afya kinachotambulika na serikali. pia unatakiwa ujaze nakala mbili za fomu hiyo ambapo moja itatumika kwny registration na nyigine kama kumbukumbu chuoni. form inapatikana hapa: www.udsm.ac.tz/announcements/announcement.php?id=501&intVariationID=1&szTitle=Current
 
wanafunzi wa udsm wote wanaijua website ya udsm sijajua kiherehere chako cha kila unachokiona kule unaleta hapa ni nini haswa
 
KINGXVI usipoweza kuchangia point kwenye kila thread i will always reward u 'A MIDDLE FINGER'!Mkale act ka great thinker cio kila thread unaongea mashudu!
 
KINGXVI usipoweza kuchangia point kwenye kila thread i will always reward u 'A MIDDLE FINGER'!Mkale act ka great thinker cio kila thread unaongea mashudu!
HUYU JAMAA TANGU udsm wampige madole amekuwa akikitukana chuo chetu
 
Thanx 4 the gud info ma broz....just kp on updatin us achanen na huyo mwenye stress za kukosa uanachama wa UDSM...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…