New member: mmenivuta nijiunge na jf

New member: mmenivuta nijiunge na jf

binti kilu

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
6
Reaction score
2
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii
 
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii

mi mwenyewe hapa mmgeni ila basi tu
 
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii

dah Binti mashallah karibu sana
 
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii

mi mwenyewe hapa mmgeni ila basi tu

Jamani wageni tupo wengi!
 
Umeingia vizuri ila mlango uliopitia sio ungeingilia mlango wa utambulisho huku ni kwa wapiga mehela.
 
Mimi Ni Mwenyeji Wa Hapa Jukwaa La Ujasiriamali, Kwasiku Kadhaa Nilikuwa Hapo Juu Kdoogo Kutokana Na Hili Sakata La Zitto Lakini Niliposikia Nyumbani Kunamgeni Nimerudi Nikukaribishe Karibu Dada, Karibu Ujasiliamali
 
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii

cku...???
ckuwa...??
nliingia ....??
nkajikuta ....???
ndiyo nini hicho, jifunze kuandika kitu fasaha wewe
 
Back
Top Bottom