binti kilu
Member
- Jan 9, 2014
- 6
- 2
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia huku,juzi usiku nliingia nkajikuta yanayoendelea humu yananivuta zaidi nijiunge,and here I am,mnipokee mwenzenu hodiii