New Member;Nini niwe nacho makini humu? Nimekuja rasmi

Karibu jisikie Upo nyumbani. Hapa kwetu tu njaa kali sana Narudia Tena tuna njaa kali sana. Nmesikia nyumba ya jirani huko wakiwaita mademu zetu Huku "MAHARAGE YA MBEYA" sina uhakika na hilo Ila Kama ni kweli "Vaa Condom".
 
Hahahahaa. Kina nani hao tena
Karibu jisikie Upo nyumbani. Hapa kwetu tu njaa kali sana Narudia Tena tuna njaa kali sana. Nmesikia nyumba ya jirani huko wakiwaita mademu zetu Huku "MAHARAGE YA MBEYA" sina uhakika na hilo Ila Kama ni kweli "Vaa Condom".
 
Karibu jisikie Upo nyumbani. Hapa kwetu tu njaa kali sana Narudia Tena tuna njaa kali sana. Nmesikia nyumba ya jirani huko wakiwaita mademu zetu Huku "MAHARAGE YA MBEYA" sina uhakika na hilo Ila Kama ni kweli "Vaa Condom".
Nimekuelewa sana mkuu shukran
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…