New member

Karibu sana, ni vema uka ( de clear interest ) ili tuende sambamba. Kwa kifupi humu kuna team pinzani sana. Kwanza kuna team
1Ukawa(wazungusha mikono)
2 CCM (fisiemu au chama cha majambazi/ wapigaji aka wazee wa escrow, epa,kagoda,meremeta,kiwila mine,kagoda, rada,lugumi nk)
3 team diamond aka dangote chibu the almasi
4 Ali kiba aka k4 real
5 kuna udini upande wa kushoto ni kama vile mheshimiwa mtume na wafuasi wake aka ( mudy)
6 upande wa kulia mheshimiwa masiah aka (jiza) na wafuasi wake pia.mengine utajionea mwenyewe
 
Nashkuru sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…