New member

New member

OPTIMISTIC

Senior Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
125
Reaction score
20
Hi Members of Jamii forum,
I have registered as a member of JF, though I have been following up your threads for quite sometimes and I really like them, I m happy that now I have freedom and access to contribute and source some of the new ideas.

Cheers and nice weekend,
https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon14.png
 
Hi guys!!
Nimejaribu kufuatilia gharama za kununua LED flat screen Dar na NRB, inaonekana bei kwa Kenya iko chini ya zaidi ya Tsh.200,000.00. Aina ya tv ni Sony bravia 32" new model make ya Malysia kwa Ksh. 32,000.00 eqv to Tsh.600,000.00. Hivi inatokana na nini kwamba TZ gharama ziko juu au mwenye uzoefu zaidi ni wapi unaweza pata kwa Dar and at how much?
 
ur warmly welcome!kuhusu swal lako heb elekea kwnye jukwaa la technology...hko kuna wataalam kbao!
 
Hi guys!!
Nimejaribu kufuatilia gharama za kununua LED flat screen Dar na NRB, inaonekana bei kwa Kenya iko chini ya zaidi ya Tsh.200,000.00. Aina ya tv ni Sony bravia 32" new model make ya Malysia kwa Ksh. 32,000.00 eqv to Tsh.600,000.00. Hivi inatokana na nini kwamba TZ gharama ziko juu au mwenye uzoefu zaidi ni wapi unaweza pata kwa Dar and at how much?

upo nje ya jukwaa nenda jukwaa la matangazo au biashara utakutana na wachumi watakupa sababu ya tofauti ya bei ukitaka kujua zaidi kiutalaam njoo jukwaa la sayansi yani jamii ni kila k2 uku umekosea njia alafu kujitambulisha kunajukwaa lake wakati mwingine soma rules kwanza
 
Back
Top Bottom