Ukishakaribishwa?Mambo zenu wadau...nmekuwa msomaj mzur wa jf kwa kipindi kirefu!! Naomba kukaribishwaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ucjal mkuu utaijua soon..asante!!!Karibu mkuu. Tutambulishe jinsia yako please
Bado cjapiga picha mkuu....naona yako imetulia asee!Picha yako tafadhali.
Eh hivyo ndio huwaga si hufanya.
Sawa Deo KisanduMambo zenu wadau...nmekuwa msomaj mzur wa jf kwa kipindi kirefu!! Naomba kukaribishwaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejua na ku-quote
Jamani hivi huyu kaka Deo alipotelea wapi na posts zake zileee!!!Sawa Deo Kisandu
Anasajili chama.Jamani hivi huyu kaka Deo alipotelea wapi na posts zake zileee!!!