Pamoja mkuuasante sana ndugu yangu wa baba mmoja [HASHTAG]#dirtyhead[/HASHTAG]
Karibu mgeni...unapenda majukwaa yapi?Ni member mpya ndani ya jamii forum..nime weza kuwa mfwatiliaji na mpenzi wa jamii forum tangu 2016. Leo tarehe 16-9-2017 nimeona nisiwe mfuatiliji na msomaji tu bali niweze kushiriki katika post zote za humu natumaini wanajamii mtanipokea asante[emoji120]
Ila username yako mmh.. Kumbuka maneno huumbaNi member mpya ndani ya jamii forum..nime weza kuwa mfwatiliaji na mpenzi wa jamii forum tangu 2016. Leo tarehe 16-9-2017 nimeona nisiwe mfuatiliji na msomaji tu bali niweze kushiriki katika post zote za humu natumaini wanajamii mtanipokea asante[emoji120]
Asante sana karibu intelligencesawa mkuu ila nimejawa nafuraha baada ya kuiona comment yako..kwani nimtu niliye kuwa nafatilia post zako humu JF kabla ya kujiunga..pongezi zije kwako mku[emoji122]