Paraproffesional
Member
- Mar 15, 2018
- 15
- 5
Karibu.....Hellow Jf
Mimi ni mgeni humu
Naomba kuuliza, Jf huu mtandao upo Tz tu, je mwanzilishi wake ni mtanzania? Huwa najiuliza mara nyingi sijapataga majibu
Unamanisha nini?Karibu.....
Chura ipo??? ... Halafu hujaweka namba yako kwa ajili ya mawasiliano
Mbona hujaweka namba ya simu hapo....Unamanisha nini?
Usimtishe mgeni wetu bwana.Karibu.....
Chura ipo??? ... Halafu hujaweka namba yako kwa ajili ya mawasiliano
Huyu mgeni muoga kwelikweli sidhani kama ataweza mikiki ya humu ndani....Usimtishe mgeni wetu bwana.
Karibu mwaya mgeni wetu. Ujisikie uko nyumbani.
Kuwa na hekima kaka , heshima ni kitu cha bure, mtu usiyemfahamu isimchukulie poa na maneno yako ya kihuniMbona hujaweka namba ya simu hapo....
Utambulisho haujakamilika huo....
AsanteKaribu mgeni
Kumbe umeshamuona muoga sasa kwanini unamzidishia hofu badala ya kumwondolea hofu ili ajisikie yupo nyumbani?Huyu mgeni muoga kwelikweli sidhani kama ataweza mikiki ya humu ndani....
Yeah ina makorokocho mengi hu huKaribu ID mpya, ile ya zamani umeona haina mashiko sio!
Mie siyo muoga alafu mie kivumbi sema hii Id mpya nipo kivingineKumbe umeshamuona muoga sasa kwanini unamzidishia hofu badala ya kumwondolea hofu ili ajisikie yupo nyumbani?
Hu hu aisee sawa sawa hide my ID tuende sawa π π π πKaribu tena nimeangalia post zako za nyuma nikakukumbuka !
Mkuu mgeni unakuja kauzu hivi mbona unatutisha!?Kuwa na hekima kaka , heshima ni kitu cha bure, mtu usiyemfahamu isimchukulie poa na maneno yako ya kihuni
Mie mpolee ila sipendi uchokoziMkuu mgeni unakuja kauzu hivi mbona unatutisha!?