poapoa, ngoja nitaiview kila nitakapopata mdahaha
haha sawa broo kipepe angalia kazi yangu hyo
We mzee ina maana huoni kaweka picha ya mwanamke ama?
Wanawake waoane?
Alyekuambia mgeni wetu ni mwanamke ni nani?Wanawake waoane?
Ana vinasaba vya kike so ni mwanamke hata kama anayo duduAlyekuambia mgeni wetu ni mwanamke ni nani?
Think!